Spasiba-Ian Munywe Poem by ian munywe

Spasiba-Ian Munywe



SPASIBA
Spasiba,
spasiba.
Kwa mwenyezi,
bila kipimo nakuenzi.
Spasiba,
spasiba.
Kwa mama ulileta duniani,
na kunilea.
Spasiba,
spasiba.
Kwa marafiki wa kikweli,
sio wahuni.
Spasiba,
spasiba.
Kwa wahusika wote wenye nia njema,
sio wenye sumu kwenye sindano.
Spasiba,
spasiba.
Kwa maadui washirikina na wenye fitina,
wasio na utu ila tu unafiki.
Garagazano hili,
hamwezi.
Spasiba,
spasiba.
LiterarySpaceAfricaIan Munywe©

Spasiba-Ian Munywe
Tuesday, March 27, 2018
Topic(s) of this poem: family,friends,friendship
COMMENTS OF THE POEM
READ THIS POEM IN OTHER LANGUAGES
Close
Error Success